Basi la mtei lachomwa moto na wananchi wenye hasira huko singida

Inasadikika Wananchi wenye hasira wameteketeza kwa kuchoma moto basi la Mtei Express linalosafiri kati ya Singida - Arusha - Singida baada ya kugonga pikipiki na kuua watoto watatu hivi punde

 


0 comments: