Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto

Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua

Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii

Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii


Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa

Hii ni njia ya mlima sekenke

Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hiloo
Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana
0 comments: