Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto




Wanainchi wakiangalia Lori baada ya kuungua

Mabaki ya Lori hilo bada ya kuteketea kabisa na moto jioni hii

Baadhi ya wasafiri wakitazama lori lililongua jioni hii



Bonde la mlima sekenke linavyoonekana na baadhi ya miti imeunguaa


Hii ni njia ya mlima sekenke

Haya ni mabaki ya mwili wa mmoja ya watu walikuwam kwenye Lori hiloo

Moto ukimalizikia kwa mbaliii kama inavyoonekana

0 comments: