RATIBA ya M4C - Operesheni Pamoja Daima: Kigoma, Rukwa, Mbeya, Manyara na Arusha
Ratiba ya leo itakuwa kama ifuatavyo;
Timu ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa Mohamed, John Mnyika na
Uvinza- (Nguruka), Kigoma Kaskazini- (Mikongolo na Kagunga), Kigoma mjini
Timu ya Katibu Mkuu Dkt. Slaa;
Mbeya Vijijini (Santilya), Vwawa, Nkasi (Kasanga) na Sumbawanga mjini
Timu ya Tundu Lissu na John Heche;
Moshi Vijijini (Mabogini), Mererani, Ngarenanyuki na Sombetini (kata ya uchaguzi)
Hii ndiyo ratiba rasmi ya leo, ikionesha kiongozi gani atakuwa mahali gani.
0 comments: