RATIBA ya M4C - Operesheni Pamoja Daima: Kigoma, Rukwa, Mbeya, Manyara na Arusha

 
Ratiba ya leo itakuwa kama ifuatavyo;

Timu ya Makamu Mwenyekiti Zanzibar Said Issa Mohamed, John Mnyika na

Uvinza- (Nguruka), Kigoma Kaskazini- (Mikongolo na Kagunga), Kigoma mjini

Timu ya Katibu Mkuu Dkt. Slaa;

Mbeya Vijijini (Santilya), Vwawa, Nkasi (Kasanga) na Sumbawanga mjini

Timu ya Tundu Lissu na John Heche;

Moshi Vijijini (Mabogini), Mererani, Ngarenanyuki na Sombetini (kata ya uchaguzi)

Hii ndiyo ratiba rasmi ya leo, ikionesha kiongozi gani atakuwa mahali gani.

0 comments: