RAIS JAKAYA KIKWETE NA MKE WAKE WAWASILI SOUTH AFRICA
Rais Kikwete akisindikizwa kuelekea
kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base
ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria . Nyuma yake mwenye ushungi kichwani ni Mama
Salma Kikwete![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcFdPRd0kgn2IiOZH6-HaWb-lCrGGoEk1VUGlUOFOddPN579T8u7XRvFuJ3baODI5nbKlrWOKPCzPxGJ1bcKPXXc2Ed_lfIb95-RfR8jwgYPdGXlUZDwLi2pgb7Egw90JAj6DVidatJKI/s640/m4.jpg)
Rais Kikwete akisindikizwa kuelekea kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria . Nyuma yake kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdurahman Kinana.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-YdNRRWADqHXBKDiHcCgx13J8uGJssQ_O4FULjJBL2X45dOeDVAgF3cvGqutQ8qQUlqBdeDC2c0BdI8lgnOdmkOQQMrK5KuTrDPin6Szcw01gD9NHmQe2NP5gNmCbqCDDKOK3A1R7PSo/s640/m1.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEjcFdPRd0kgn2IiOZH6-HaWb-lCrGGoEk1VUGlUOFOddPN579T8u7XRvFuJ3baODI5nbKlrWOKPCzPxGJ1bcKPXXc2Ed_lfIb95-RfR8jwgYPdGXlUZDwLi2pgb7Egw90JAj6DVidatJKI/s640/m4.jpg)
Rais Kikwete akisindikizwa kuelekea kwenye gari baada ya kuwasili uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria . Nyuma yake kushoto ni Katibu Mkuu wa CCM Ndg Abdurahman Kinana.
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEj-YdNRRWADqHXBKDiHcCgx13J8uGJssQ_O4FULjJBL2X45dOeDVAgF3cvGqutQ8qQUlqBdeDC2c0BdI8lgnOdmkOQQMrK5KuTrDPin6Szcw01gD9NHmQe2NP5gNmCbqCDDKOK3A1R7PSo/s640/m1.jpg)
Rais Jakaya Mrisho Kikwete
akilakiwa katika uwanja wa ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa
jiji la Pretoria alikowasili usiku wa kuamkia leo tayari kuhudhuria mazishi ya
Rais Mstaafu wa Afrika Kusini Mzee Nelson R. Mandela.![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5te8-ckDT1aHqEcIsJzE05Pln53c5FDbB-dsfsfN4RvX_qtDz7O-yq8OrqWPtMqUpxtxgndkMiERM4JYsaCyErJVq3jUhB6EXt7U0tiRjLhjE1To83aYnrSBoaWxBh_K9Rh8MnRJvF5c/s640/m2.jpg)
![](https://blogger.googleusercontent.com/img/b/R29vZ2xl/AVvXsEh5te8-ckDT1aHqEcIsJzE05Pln53c5FDbB-dsfsfN4RvX_qtDz7O-yq8OrqWPtMqUpxtxgndkMiERM4JYsaCyErJVq3jUhB6EXt7U0tiRjLhjE1To83aYnrSBoaWxBh_K9Rh8MnRJvF5c/s640/m2.jpg)
Rais Kikwete akisalimiana na
Mwambata wa Kijeshi katika Ubalozi wa Tanzania Afrika kusini katika uwanja wa
ndege wa Waterkloof Airforce Base ulioko Kusini mwa jiji la Pretoria.Picha na
IKULU
0 comments: