Waumini wala majani ili kuwa karibu na uwepo wa mungu huko South Africa

 
Mchungaji mmoja huko Afrika kusini amewaamrisha wafuasi wake kula majani kama ishara ya kuwaweka karibu na mungu .waamuni walitoka kwenye sakafu ya kanisa na kwenda kushambulia majani ili wawe zaidi na mungu .Baadhi ya watu walilaani kitendo hicho lakini mchungaji alisema kuwa mwanadamu ili awe karibu na uwepo wa mungu lazima apige kitu cha majani
A South African preacher made his congregation eat grass to 'be closer to God' before stamping on them
Under the instruction of Pastor Lesego Daniel of Rabboni Centre Ministries dozens of followers dropped to the floor to eat the grass at his ministry in Garankuwa, north of Pretoria
One woman claimed eating the grass stopped her having a sore throat, while another said it healed her after a stroke
 Mwanamke mmoja ashuudia kupna stroke baada ya kula majani huku mwingine akisema kuwa amepata mazara kutokana na kula majani

The congregation were told eating the grass will 'bring them closer to God'
wafuasi wakila majani baada ya kuambiwa na mchungaji kuwa wakifanya hivyo watakuwa karibu na mungu zaidi


0 comments: