HUKUMU YA LIYUMBA YAAHIRISHWA HADI KESHO
Amatus Liyumba
Habari mbalimbali za uchambuzi
MATIC AREJEA CHELSEA KWA KISHINDO
Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Awatunuku Nishani Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Salmin Amour Juma na Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Amani Abeid Karume
Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
(no title)
VACANCIES IN AMREF
RATIBA ya M4C - Operesheni Pamoja Daima: Kigoma, Rukwa, Mbeya, Manyara na Arusha
Jengo la makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa ufipa Kinondoni yameviwa ma vijana waendesha boda boda wa jijini Dar muda huu wakitaka waonane na viongozi wa chama hicho kuwaeleza kero na manyanyaso wanayoyapata kutoka kwa maofisa wa jiji pamoja na askari polisi katika utekelezaji wa mujukumu yao ya kujipatia riziki. Kutokana na hali hiyo tayari polisi wameshazingira eneo zima la makao makuu ya CHADEMA kwa ajili ya tahadhari ya jambo lolote.
Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda
0 comments: