OBAMA NA CAMERON KWENYE POZI
Raisi wa marekani na waziri mkuu wa Uingereza wakila pozi la picha na Hellen huku mke wa Obama akionyesha kutokufurahia kinacho endelea,Majibu yote kwenye picha hapo chini


Habari mbalimbali za uchambuzi

MATIC AREJEA CHELSEA KWA KISHINDO
Ajali mbaya mlima Sekenke - Lori la Mafuta lateketeza wanne kwa moto
Rais wa Zanzibar Dr Ali Shein Awatunuku Nishani Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk .Salmin Amour Juma na Rais Mstaafu wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Amani Abeid Karume
Daktari aliyeiba watoto ahukumiwa China
(no title)
TANGAZO LA AJIRA 517 SERIKALINI
RATIBA ya M4C - Operesheni Pamoja Daima: Kigoma, Rukwa, Mbeya, Manyara na Arusha
Jengo la makao makuu ya CHADEMA yaliyopo mtaa wa ufipa Kinondoni yameviwa ma vijana waendesha boda boda wa jijini Dar muda huu wakitaka waonane na viongozi wa chama hicho kuwaeleza kero na manyanyaso wanayoyapata kutoka kwa maofisa wa jiji pamoja na askari polisi katika utekelezaji wa mujukumu yao ya kujipatia riziki. Kutokana na hali hiyo tayari polisi wameshazingira eneo zima la makao makuu ya CHADEMA kwa ajili ya tahadhari ya jambo lolote.
Malumbano CCM: Kiyabo amjibu Makonda
0 comments: