BREAKING NEW ZZZZZZZZZ Mbunge wa Chalinze (Said Bwanamdogo) afariki dunia

Click image for larger version. 

Name: download (2).jpg 
Views: 0 
Size: 3.5 KB 
ID: 133696



Mbunge wa Chalinze (CCM) Mh. Said Bwanamdogo amefariki Dunia leo asubuhi katika Taasisi ya Mifupa MOI, alikokuwa amelazwa baada ya kuugua kwa muda mrefu, Ofisi ya Bunge inaendelea na Taratibu za mazishi/maziko baada ya kuwasiliana na ndgu wa marehemu



0 comments: